25 November 2015

JULIUS MTATIRO "AMJIA JUU" DC WA KINONDONI KWA KITENDO ALICHOWAFANYIA MAAFISA ARDHI

PONGEZI HIZI KWA MAKONDA HAZIKUBALIKI!
Ndugu zangu, muda huu nimeona kwenye mitandao kadhaa watu wakifurahia hatua ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ndugu yetu Paul Makonda kutoa amri (ambayo imetekelezwa) ya kuwaweka ndani wataalam wa ardhi ambao walishindwa kufika eneo la kazi kwa wakati.  


BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname