27 November 2015

BREAKING NEWS : WAZIRI MKUU AIBUA MADUDU YA UPOTEVU WA MAKOTENA 346 YENYE DHAMANI YA BILIONI 80


Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na uongozi wa TRA na TPA alipofanya ziara ya kustukiza Bandarini leo asubuhi.
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa leo ameamuru kukamatwa kwa maafisa kadhaa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wengine kufukuzwa kazi baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini na kukuta madudu ambayo hakuyafurahia.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname