28 November 2015

BREAKING NEWS : MWANASHERIA MKUU AANZA KUWASHUGULIKIA VIGOGO WA UNGA



Taarifa zinasema Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewasilisha waraka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam akitaka kushikiliwa na kuzuiwa kwa mali zote za mtuhumiwa wa madawa ya kulevya, aliyejulikana kwa jina la Muharami Abdallah, maarufu kwa jina la Chonji na mkewe, Mwalibora Nyanguri kuhamisha umiliki, kupangisha au kuombea mikopo.

SOMA ZAIDI 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname