Rappa MeekMill amefunguka vitu alivyowahi kuambiwa na Jay Z kuhusu mitandao ya kijamii na ndio inaweza ikawa sababu kubwa ya rappa huyo kutoitumia.
“Jay Z aliwahi kuniambia kuwa mitandao ya kijamii imewekwa kwa sababu ya wale watu ambao hata ukikutana nao hawawezi kuongea kitu, watu ambao wanaogopa kuongea moja kwa moja na wanawake au wanaume (kutongoza) na huwezi kuongea ukweli sababu mitandao ni dunia ya watu fake na watakuchukia ukisema ukweli, Watu hawana maisha tena sababu wana dunia ya kuigiza kuwa wana maisha bora” Meekmill alisema.
Kwa maneno hayo ni sababu za wazi kwanini Jay Z si mpenzi wa mitandao ya kijam
No comments:
Post a Comment