Mjumbe
wa Kamati ya Ushindi ya Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye ametumia
dakika takribani 10 kumshambulia mgombea urais kwa kiketi ya Chadema,
Edward Lowassa aliyewahi kuwa kada wa chama hicho.
Nape alirusha makombora yake kwa Lowassa jana alipopewa nafasi ya kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli katika viwanja vya Samora, mjini Iringa.
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
Nape alirusha makombora yake kwa Lowassa jana alipopewa nafasi ya kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli katika viwanja vya Samora, mjini Iringa.
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
No comments:
Post a Comment