03 September 2015

DR .SLAA APONGEZWA,AKINGIWA KIFUA

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amepongezwa kwa hotuba yake mbele ya waandishi wa habari juzi Dar es Salaam huku wanaomshambulia wakitakiwa waache na kama hawatafanya hivyo basi watajitokeza watu na kumsemea. Katika hotuba yake aliyoitoa juzi hadharani kwa mara ya kwanza tangu atoweke Julai 28, mwaka huu baada ya Lowassa kukaribishwa ndani ya Chadema na baadaye katika umoja wa vyama vinne (Ukawa), Dk Slaa aliishukia Chadema kwa kumkaribisha ‘kiholela’ Lowassa akisema si mwanasiasa safi kimaadili.  

BOFYA HAPA KUSOMA YOTE 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname