23 August 2015

MRITHI wa DK. SLAA CHADEMA Huyu Hapa...Je, Unadhani Ana Uwezo wa Kuvivaa Viatu vya Dokta na Vikamtosha?! #TETESI


#TETESI Zipo taarifa kwamba Lowassa amependekeza nafasi ya Dr.Slaa kama katibu mkuu wa chadema ijazwe na aliyekua mwenyekiti wa ccm mkoa wa Singida comrade Mgana Msindai (pichani). 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname