10 July 2015

TANO BORA CCM URAIS: HIKI NDICHO KILICHOJIRI KATIKA KIKAO CHA

Kila mmoja anayo shahuku ya kujua majina 5 yaliyopitishwa na kamati kuu iliyopangwa kukukatan jana usiku mjini Dodoma.
Taarifa rasmi zilizotufikia  kutoka Dodoma ni kuwa kikao hicho kiliketi na kuhahirishwa hadi leo asubuhi kutokana na sababu ambazo hazijatajwa rasmi.
Taarifa ya CCM ni kuwa leo ijumaa kutakuwa na vikao viwili ambapo kitaketi cha wanza kupata wateule watano na baadaye halmashauri kuu kukutna na kuteua watatu miongoni mwao ili majina hayo yapelekwe kwa mkutano mkuu hapo kesho.   

BOFYA HAPA KUONA BAADHI YA MAJINA YALIOPENDEKEZWA KUINGIA 5 BORA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname