29 June 2015

VIDEO: HIVI NDIVYO PARAGUAY WALIVYO ITOA BRAZIL KWA PENATI COPA AMERICA



Paraguay wameiondosha Brazil katika michuano ya Copa America kwa penalti 4-3 na kutinga hatua ya nusu fainali ambapo watakabiliana na Argentina.
Mchezaji wa Everton, Ribeiro na Douglas Costa walikosa penalti kwa upande wa Brazil

Tazama jinsi wanaume walivyopiga matuta BOFYA HAPA


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname