Soudy
amesema alipata tetesi za uhusiano wa mastaa wawili Bongo Fleva,
wameonekana pamoja sehemu nyingi.. hajawataja majina, lakini akamtafuta Jokate.
Soudy Brown: ‘Unafahamu hata kama Ali Kiba alivamiwa? Ulimpigia simu kumpa pole?‘
Jokate: ‘Kwa nini?‘
Soudy Brown: ‘Aaaah… unauliza kwa nini tena, Ali Kiba si mchumba wako..?‘
Jokate: ‘Haaa haa haa.. Soudy hebu niache kwanza, naumwa.. unanichekesha hapa‘
Isikilize U Heard yote hapa..
No comments:
Post a Comment