25 May 2015

Picha,Alichofanya kwenye mechi yake ya kwanza Mchezaji mdogo zaidi wa Real Madrid ‘Martin Odegaard’.

martin-odegaard
Umekuwa wakati wa maana sana kwenye maisha ya mchezaji mwenye miaka 16 ‘Martin Odegaard ‘ kutoka benchi na kuchukua nafasi ya Cristiano Ronaldo ikiwa ni mara ya kwanza anaheza kwenye klabu ya Real Madrid
Haijulikani kama Martin Odegaard ataweza kucheza kama Cristiano Ronaldo ila ni miongoni mwa wachezaji wanaoaminika kuleta mabadiliko kwenye klabu hio tajiri zaidi duniani.
Kijana huyu Kutoka Norway alijiunga na Real Madrid  January kwa ada ya katikati ya dola milioni 3-4 na amecheza kwenye mechi ya kwanza na Real Madrid huku wakishinda 7-3 dhidi ya Getafe.
martin-odegaard 2 martin-odegaard 3 martin-odegaard 4 martin-odegaard 5

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname