29 April 2015

NCCR-Mageuzi yadaiwa kuwasilisha hoja ya kujitoa UKAWA



JamiiForums's photo.

Kikao cha viongozi wa UKAWA kilichofanyika katika ofisi za CUF jana kimeshindwa kufikia muafaka kutokana na kutoafikiana kwenye hoja ya chama cha NCCR-MAGEUZI kutaka kujitoa kwa sababu ya kuachiana majimbo katika uchaguzi mkuu wa wabunge kutoelewana vizuri. CUF nao wametoa masharti magumu kwa mchakato huo!

Source: MTANZANIA.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname