SHAKA!
Familia ya ‘President’ wa Kruu ya Wasafi, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’ imeamua kuweka kikao kummbana staa huyo aweke wazi kama ni
kweli ana uhakika mimba aliyonayo mjasiriamali Zarinah Hassan ‘Zari’ ni
ya kwake au magumashi, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo, ndugu wa karibu akiwemo mama, binamu yake Romy Jons, wajomba zake, mameneja na marafiki wa karibu wa familia, waliamua kuweka kikao hicho usiku hivi karibuni ili Diamond athibitishe kama kweli kiumbe kinachoripotiwa kuwa ni cha kwake magazetini ni chake kweli.
Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo, ndugu wa karibu akiwemo mama, binamu yake Romy Jons, wajomba zake, mameneja na marafiki wa karibu wa familia, waliamua kuweka kikao hicho usiku hivi karibuni ili Diamond athibitishe kama kweli kiumbe kinachoripotiwa kuwa ni cha kwake magazetini ni chake kweli.
SOMA ZAIDI>>>
No comments:
Post a Comment