29 April 2015

DIAMOND!!,AITWA NA FAMILIA KUTOA MAJIBU SAHIHI KUHUSU KULEA MIMBA ISIYO YAKE!!

Diamond Plutnum akibusu tumbo la mpenzi wake Zari.
SHAKA! Familia ya ‘President’ wa Kruu ya Wasafi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ imeamua kuweka kikao kummbana staa huyo aweke wazi kama ni kweli ana uhakika mimba aliyonayo mjasiriamali Zarinah Hassan ‘Zari’ ni ya kwake au magumashi, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na familia ya staa huyo, ndugu wa karibu akiwemo mama, binamu yake Romy Jons, wajomba zake, mameneja na marafiki wa karibu wa familia, waliamua kuweka kikao hicho usiku hivi karibuni ili Diamond athibitishe kama kweli kiumbe kinachoripotiwa kuwa ni cha kwake magazetini ni chake kweli.
Diamond akiwa katika pozi na mpenzi wake Zari. 
SOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname