02 March 2015

SWAGA ZA WATOTO WA VIGOGO TZ..!Mfahamu MWAMVITA, Binti wa Mzee Yusuph Makamba mwenye Mafanikio na mfano wa Kuigwa...!













Mwamvita Makamba, Ni mtoto wa Muheshima Makamba aliyekuwa mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam , na baadae katibu wa CCM kitaifa, Mwamvita ana Masters ya  Politics and International Relations na kwasasa ni Chief Officer: Marketing & Corporate Affairs kampuni ya Vodacom Tanzania. 

Tujifunze kwa huyu dada..

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname