Kamanda MISIME amesema mtuhumiwa alinaswa majira ya saa 23:00hrs usiku wananchi walimuona maeneo ya Mti Mkavu Mailimbili Mkoani Dodoma akiwa bado na lile panga alilotumia kumuua Askari.
Hata hivyo
walichukua sheria mkononi na kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili
wake, Polisi walifika eneo la tukio na kumchukua kisha kumkimbiza
Hospitali ya Mkoa lakini daktari akagundua ameshafariki.
Aidha Kamanda
MISIME amesema mtuhumiwa huyo katika kumbukumbu tulizonazo ni kwamba
mwaka 2006 aliwahi kufungwa miaka mitatu (3) kwa kosa la kujeruhi, Pia
mwaka 2009 alifungwa tena miezi sita (6) kwa kosa la kutishia kuua.

No comments:
Post a Comment