16 November 2014

KUMBE DIAMOND PLATNUMZ ANAWEZA KUWA RAIS WA TANZANIA AKIGOMBEA NAFASI YA URAIS, SOMA HAPA


Nimekuwa nafuatilia kipindi cha asubuhi hii katika kituo cha TV cha StarTV. Nimewasikiliza wote. Huko Dar es salaam Dr. Kitila Mkumbo kaonesha upeo wake katika hili na Mwanaharakati Lenatus Mkinga ameonesha uwezo wake.
Kilicho nishangaza leo Kitila amepwaya sana kwa kutoa hoja zisizo na mashiko kwa kuegemea kumponda Dr. W. P. Slaa kwa kumwita hana adabu kwa kutokubaliana na matokeo hayo ambayo yamempa ushindi Edward Lowasa.

Kitila ameonesha kutokuegemea upande wowote pale alipotamka wazi kuwa utafiti huu una lengo la kumshafisha mtu fulani na ndiyo maaana watu walifanya sherehe ya kupongezana. Kaenda mbali na kutaja kuwa kundi hilo lililosherehekea ndilo hilo hilo lililompatia Dora 2500 cash ili aandae kipindi kwenye TV kwa lengo la kumsafisha mtu wao.SOMA ZAIDI>>>

1 comment:

  1. Others find higher than a functional appeal within them. replica cartier It is an accessory they would remember to wear either to an outing with friends or any special occasions. prada replica Titan Industries is an coverage of different brands that have a wide range of number of watches that boast of the richness and exclusivity offered by them. replica prada In the continuous race of launching new and attractive varieties of designer watches by national and international brands, Titan has created a niche for itself in the Indian market. fake hublot It has exclusive design studios to constantly innovate on the designs and technology that it offers. hublot replica uk The parent brand Titan markets its products under different sub-contract brands- Fastrack, Sonata, Helios and Xylys.

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname