
Muonekano wa basi la najimunisa mara baada ya kupata ajali.


Basi
la Najmunisa lililokuwa likitokea mwanza kwenda jijini Dar es salaam
lilipata ajali mbaya jana usiku kwa kugongana na gari dogo eneo la Mbezi
jijini dar es salaam
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari hii, hakukuwa na vifo bali abiria walijeruhiwa na kupelekwa hospitali kwa matibabu zaidi
Kufuatia
ajali hiyo polisi walilazimika kuwatimua baadhi ya watu waliokuwa na
lengo la kukwapua mali za majeruhi hao ambapo eddy blog inalaani
kitendo hicho ambacho si cha kiungwana hata kidogo


No comments:
Post a Comment