
Ameanza kwa kusema >>> ‘Nilichelewa kufika sikuweza kuwaona
kina Ommy Dimpoz, Vanessa na kina Young Killer lakini niliobahatika
kuwaona wote wamefanya kazi nzuri, nilimkuta Waje na Panto walifanya
vizuri japo ni nyimbo zao chache tunazijua’
Akiwataja wasanii wa Tanzania waliofanya vizuri Ali amesema
>>> ‘Mr Blue amenifurahisha sana, WEUSI wamefanya kazi nzuri….
kina Diamond wamefanya kazi nzuri pamoja na Linah’
No comments:
Post a Comment