10 August 2014

KUNDI LA ORIGINAL KOMEDI LAVUNJIKA.....click kwa kilichotokea

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNOZmRa5RGEwFqpDeZxkh1-9U1FDKNZDUqig6k4m9jvvCpvXC1ZXYE3Y57p0dzFP8xMlSa6mzHA_jiyt8B6S7NzZf1DsvMj_MUWX585cfSwCcVuZkvpFAp8nNwsFOkvNiTnxlTmmm9TKQ/s640/origino_komedi.jpgHakuna ubishi kua miaka michache iliyopita kund la Orijino Komedi ndio lenye mashabiki wengi hapa nchini. Ilikua ikifika mda wa kurushwa kipindi kila mtu alikua hangoki Katika TV yake. Umaarufu  wao uliongezeka zaid pale walipohama EATV na kuhamia TBC.
Umaarufu wao uliendelea kuwepo hadi siku zq karibuni ambapo ulishuka kwa kasi sana, taarifa ambazo Bongoclan tumezipata ni kua kwa sasa kundi  hilo limevunjika na kila mtu anafanya kazi kivyake. Chanzo chetu kutoka kituo cha TV walichokua wakifanya kazi kiasema kua kwa sasa kila mtu ana hamsini zake na hawafanyi kazi tena pamoja

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname