Shamsa Ford kama anavyoonekana hapo juu na baby wake ni msichana mwenye
furaha mno na huyo mwanaume wake, wasanii wengi hawana furaha namna hii
na wanaume zao, wengi ni ukiwaona leo kesho utasikia wanaanza
kukashifiana yani tabu tupu...
Picha ya juu Shamsa akiwa na mimba, na hizi mbili akiwa ameshajifungua
mtoto wake, kweli ukikubali kuwa na mpenzi ambaye umempenda kwa hali
yoyote lazima uwe na furaha namna hii lakini hawa wa pesa mjini
utaonekana unatanua lakini moyoni hauna raha kabisa, kisa cha kujipa
jakamoyo kisa ufurahishe watu mjini eti wakuone unabadili nguo na pochi
kila siku wakati maisha yako yanaoza ndani ndio nini?!!
Manake moyo una simanzi,
Shamsa hongera sana mamaa, KUNA MWENYE TABASAMU KAMA LA SHAMSA NDANI YA
BONGO MOVIES?


No comments:
Post a Comment