Elizabeth Michael ‘Lulu’.
KWAKO Elizabeth Michael ‘Lulu’. Leo nimeona
nikukumbuke kupitia barua! Natambua uwezo wako mkubwa katika kazi,
juhudi zako binafsi ndiyo zimekufikisha hapo ulipo, mataifa mbalimbali
sasa wanatambua kuwa kuna mtu anaitwa Lulu, yupo Bongo, muigizaji!.
Sitaki kukurudisha sana nyuma lakini najua unajua kuwa ni jinsi gani
kipindi cha nyuma ulikuwa ukipamba vyombo vya habari kwa skendo chafu.
Ulipoteza dira ya kimaisha, watu wengi waliokuwa wakikufuatilia kazi
zako walianza kukutupa.

Walikupotezea
kwa sababu ya matukio ya ulevi, mavazi ya nusu utupu na matukio mengi
ya ajabuajabu yaliyofanana na hayo. Sina nia mbaya kukumbusha lakini
waswahili wanasema binadamu anajifunza kutokana na makosa. Maishani
mwako umekutana na mazito yasiyofanana na umri wako.
Kwenye ulimwengu wa mahaba, ilikuwepo minong’ono mingi juu ya watu
wanaotajwa kushiriki mapenzi na wewe, walitajwa vigogo, mastaa na hata
wasio mastaa. Sitaki kusema ni kweli au la lakini lisemwalo kama halipo,
ujue laja.
Siri ilifichuka kupitia kifo cha yule unayedai alikuwaBOFYA HAPA KUENDELEA KUISOMA
No comments:
Post a Comment