Hii
unaambiwa imetokea Kisumu Ndogo, Donholm nchini Kenya Ijumaa iliyopita.
Makonda hao walilazimishwa kuoga hadharani kwa kinachaodaiwa wananuka.
Wateja wamekuwa wakilalamika kwamba makonda hawa
wananuka na hivyo
kuathiri biashara. Makonda hao waliogeshwa huku wadau wakishushudia na
kuhakishiwa usafi kwa makonda itakuwa ni swala la lazima.
No comments:
Post a Comment