Zile tetesi zilizoanzishwa na Team Chaggabarbie kuwa Diva na Msanii
anaeunda kundi la East Cost tema GK zimekuwa na ukweli kwani diva
ameamua kuvunja ukimya na kuweka kila kitu wazi kabisaaaaa kuhusu penzi
hilo..... Diva alipost picha hiyo hapo juu kisha kuweka maneno haya kama
caption ya Picha hiyo.
No comments:
Post a Comment