mtandao wa kijamii wa Instagram zikimuonesha akiwa ‘bize gym’ akifanya mazoezi makali kupunguza unene akijiandaa kurejea rasmi kwenye gemu. Picha hizo zinamuonesha akikimbia kwenye mashine maalum ya kukimbilia, akifanya mazoezi ya viungo na nyingine akifanya mazoezi ya kukata tumbo ambapo mashabiki wake kwa asilimia kubwa walimpongeza kwa hatua hiyo.
Baada ya kupona na kuacha madawa ya kulevya kwa msaada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete baada ya kutolewa kwenye magazeti ya Global akiwa hoi, sasa anasubiriwa kwa shauku na mashabiki wake wanaotamani kumuona stejini kwa mara nyingine.
No comments:
Post a Comment