Jeneza lililobeba mwili wa mfanyabiashara huyo lililoagizwa Nairobi ni la aina yake huku likifunguliwa kwa kutumia ‘rimoti’.
Jeneza hilo lililoagizwa kutoka Kampuni ya Montezuma & Monalisa Funeral Home, linafunguliwa kwa kubonyeza kifaa maalumu hata mhusika anapokuwa mbali.
No comments:
Post a Comment