13 August 2013

ANGALIA PICHA YA . JENEZA LA BILIONE ERASTO MSUYA LINALOFUNGULIWA KWA RIMOTI

IMG-20130812-WA0011
 Jeneza lililobeba mwili wa mfanyabiashara huyo lililoagizwa Nairobi ni la aina yake huku likifunguliwa kwa kutumia ‘rimoti’.
Jeneza hilo lililoagizwa kutoka Kampuni ya Montezuma & Monalisa Funeral Home, linafunguliwa kwa kubonyeza kifaa maalumu hata mhusika anapokuwa mbali.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname