Msanii mkongwe na maarufu
nchini, Juma Kassin Kiroboto, aka Nature, ameonyesha kukerwa na kitendo
cha kutimuliwa jana usiku katika kipindi cha burudani cha televishen
inayotizamwa africa ya mashariki alipokuwa
Showing posts with label JUMA NATURE. Show all posts
Showing posts with label JUMA NATURE. Show all posts
21 April 2013
01 April 2013
NATURE NDIYE MFALME WA TEMEKE AWAFUNIKA VIBAYA TEMBA,CHEGE NA KUNDI LAO TAZAMA ILIVYOKUWA.
Sir
Kassim Juma Nature, kinara wa kundi la TMK Wanaume Halisi akiwanyooshea
Mike mashabiki wake usiku wa kuamkia leo katika mchuano wa NANI MFALME
ambapo mashabiki walimkubali kuwa Mfalme wao dhidi ya mahasimu wao, TMK
Wanaume Family.
15 March 2013
17 September 2012
JUMA NATURE KUWANIA UBUNGE WA TEMEKE 2015
Sir Juma kassim kiloboto Nature sasa kuweka pembeni Music na kufanya kazi ya Siasa ili kuweza kuwania jimbo la Temeke 2015 ili kuweza kuendeleza harakati zaidi za jamii kwa ujumla na kufanikisha mambo mbalimbali niliweza kutaka kuonana na Nature ili kuweza kuongea nae ila juu ya harakati hizi Mda ndio ukawa tatizo ila mpya juu ya harakati za nature katika siasa ntawapeni zaidi.
Maoni yako juu ya Nature kutaka ubunge,
Subscribe to:
Posts (Atom)

