11 December 2015

WEMA SEPETU:KORTINI KWA WIZI WA UMEME



kwa wemaaaMaofisa wa Tanesco waking’oa mita ya umeme nyumbani kwa Wema.
KIMENUKA! Baada ya Miss Tanzania 2006 aliye pia nyota wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kunaswa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) akidaiwa kutumia umeme wa shirika hilo kinyemela, kuna 
madai atapandishwa kortini.


Taarifa kutoka chanzo makini zinasema kuwa, mrembo huyo alifanya ‘manuva’ hayo katika nyumba anayoishi, Kijitonyama, Dar hivyo kuweza kuliingizia hasara shirika hilo hali ambayo shirika hilo haliwezi kumvumilia.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname