11 December 2015

PROFESA LIPUMBA LISSU WAKOSOA UTEUZI WA PROF MUHONGO BARAZA LA MAWAZIRI


Saa chache baada ya rais Magufuli kutangaza baraza lake la Mawaziri ambalo limekuwa baraza dogo kama alivyoahidi, aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mbun
ge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu wamekosoa uteuzi wa Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Harison Mwakyembe.   

2 comments:

  1. ndundulisu anyamaze hana sifa ya kuliongelea hilo!!

    ReplyDelete
  2. sorry i mean Tundulisu.

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname