08 July 2015

DIAMOND ASEMA YUPO TAYARI KUFANYA COLLABO NA MSANII YEYOTE TANZANIA ILI MRADI AWE NA VIGEZO!


Diamond Platnumz amesema kuwa yuko tayari kufanya collabo na msanii yeyote wa Tanzania, ambaye atakuwa anakidhi vigezo vyake.
Muimbaji huyo wa ‘Nana’ ameyasema hayo baada ya kuulizwa kwanini hafanyi collabo nyingi na wasanii wa Tanzania.

“Mimi sina tatizo as long as nijue hiyo kazi unayotaka kufanya na mimi itafika wapi,”alisema Diamond kupitia Clouds FM.
“umejipanga vipi project yako na umeiandaa vipi, kwasababu sitaki nifanye tu nyimbo mwisho wa siku halafu iishie tu ndani unaiskiliza wakati natumia muda kukaa kuandika kupoteza muda studio.“  


BOFYA HAPA KUONA VIGEZO HIVYO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname