The Choice

17 November 2014

WOLPER AWABWATUKIA WANAOMSEMA

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper.
STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amewabwatukia baadhi ya watu wanaomsema kuwa kafulia na kudai hawajitambui na wanapenda kuzungumza vitu ambavyo hawana uhakika navyo.

Akizungumza na mwandishi wetu, Wolper alisema anashangazwa na watu ambao wanaojifanya ni watabiri wa maisha yake wakati hakuna hata mmoja ambaye anajua ni wapi alipotokea, wanamzushia na kumuandika mitandaoni.
“Jamani kuna watu ambao wanajifanya ni watabiri katika maisha ya watu na ni vyema kila mtu akafuata mambo yake  na kuangalia zaidi vya kwao na siyo kunifuatilia leo nimefulia au leo niko sawa, wanaboa sana,” alisema Wolper pasipo kuwataja majina.
Posted by Jason at 09:50
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • AUWAWA KWA KUCHOMWA MOTO
  • DIAMOND PLATINUMZ ANENA MAZITO KUHUSU WEMA, AJIAPIZA KIFO! WEMA NAYE AJIBU MAPIGO!
  • TAZAMA SHABIKI HUYU WA KIKE AKIWA NA BIKINI ALIPOVAMIA UWANJANI WAKATI MECHI IKIENDELEA
  • Nay wa Mitego aeleza kwanini alinunua sanamu ya shetani kwa shilingi milioni 5
  • DIAMOND AUMBUKA..!!PEDESHEE " CHIF KIUMBE " AZUNGUMZA MAZITO JUU YA LILE GARI ALILOPIGANALO PICHA DIAMOND..SOMA HAPA KUJUA UKWELI
  • MUIGIZAJI AJIKATA UUME AKITAKA KUWA MWANAUME
  • Angalia PICHA..Huyu ndo MME WA JOYCE KIRIA NA VIJANA WENGINE WACHADEMA WAKIWA NA PINGU,KESI YA UGAIDI IGUNGA
  • Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa mda wa masaa 3 inakuwa tayari. MAWASILIANO. call 0714 804739
  • HUYU NDO MSANII WA BONGO FLEVA ANAEONGOZA KWA KUVAA VIZURI NA KUPENDEZA BONGO.SASA KUZINDUA VIDEO YAKE 1/9/2013 CLUB BILICANAS
  • MTOTO WA MTANGAZAJI GADNER G ABASHI "CAPTAINIII" HAKIKA NI BINTI MREMBO

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.