The Choice

28 August 2014

NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE ATESEKA KITANDANI

Johanitha Robert Mulokozi  amekaa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza mwili mzima.

INASIKITISHA! Johanitha Robert Mulokozi (31) amekuwa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza mwili mzima.Mama huyo mwenye mtoto mmoja amekuwa akisumbuka na ugonjwa huo uliomfanya akose raha licha ya kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Akizungumza na waandishi wetu nyumbani kwake Nyan’gandu, Kivule, Ilala jijini Dar es Salaam, mama wa mgonjwa huyo, Valentina Emmanuel (51) alisema kwa miaka mitatu anashindwa kupata usingizi kutokana na kumuuguza mwanaye huyo na kukosa uwezo wa kumsafirisha kwenda India kwa matibabu.
Akisimulia huku akilengwalengwa machozi Valentina alisema: “ Tatizo la mwanangu la kupooza mwili mzima lilianzia pale alipodondoka chini baada ya kupata taarifa za kifo cha baba yake mwaka 2011.
“Sikutegemea kama mwanangu angekuwa hivi kwani alikuwa akiishi vizuri na alikuwa akiendelea na maisha yake hasa baada ya kupata mtoto ambaye anamtegemea.SOMA ZAIDI>>
Posted by Jason at 09:19
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • HATIMAYE MWISHO WA DUNIA UMEKARIBIA..!! FREEMASON WATOA TAMKO KUHUSU MWISHO WA DUNIA HII..!!
  • Angelina Jolie’s topless picture to be auctioned at Christie’s, London.
  • PICHA YA MITEGO YA SHAMSA FORD WA BONGO MUVI YAZUA GUMZO INSTRAGRAM....!ICHEKI HAPA....
  • HII NDO VIDEO YA RIHANA ILIYO LETA GUMZO KUTOKANA NA PICHA ZA KUHAMASISHA NGONO
  • MAITI ZAKUTWA ZIMETELEKEZWA MUHUNGULA KAHAMA.
  • MADHARA YA MAFURIKO JIJINI DAR LEO
  • MAJANGA KWA TAIFA !! BIASHARA YA FIGO ZA BINADAMU YASHAMIRI TANZANIA
  • ELEWA MAANA YA SHANGA "CHACHANDU" NA MATUMIZI YAKE KATIKA TASNIA YA MAPENZI...!
  • BREAKING NEWS: MATONYA AFARIKI DUNIA
  • HATIMAYE WEMA SEPETU AWASILI NCHINI AKITOKEA GHANA

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.