22 May 2014

KOCHA WA ZAMANI WA MAN UTD MOYES MATATANI

Photo: MOYES MATATANI
Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes anachunguzwa na polisi kufuatia mtafaruku katika baa moja nchini Uingereza. Maafisa wa polisi waliitwa katika baa ya Emporium mjini Clitheroe siku ya Jumatano, kufuatia taarifa kuwa mtu mwenye umri wa miaka 23 kushambuliwa. Polisi wa Lancashire wamesema mtu aliyepigwa hakuhitaji matibabu ya hospitali. Msemaji wa polisi amesema maafisa wanajaribu kuchunguza nini hasa kilitokea. Moyes aliachishwa kazi ya umeneja wa Manchester United miezi 10 baada ya kupewa kazi hiyo, akitokea Everton.

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes anachunguzwa na polisi kufuatia mtafaruku katika baa moja nchini Uingereza. Maafisa wa polisi waliitwa katika baa ya Emporium mjini Clitheroe siku ya Jumatano, kufuatia taarifa kuwa mtu mwenye umri wa miaka 23 kushambuliwa. Polisi wa Lancashire
wamesema mtu aliyepigwa hakuhitaji matibabu ya hospitali. Msemaji wa polisi amesema maafisa wanajaribu kuchunguza nini hasa kilitokea. Moyes aliachishwa kazi ya umeneja wa Manchester United miezi 10 baada ya kupewa kazi hiyo, akitokea Everton.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname