04 May 2013

WAASI WA M23 WATOA VITISHO VIKALI KWA TANZANIA KWA MARA YA PILI...Soma WALICHO ANDIKA HAPA

Picture
Kuptia Tovuti ya kijamii ya Twitter Jeshi la waasi wa nchini DRC kimetuma ujumbe wa vitisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, kufuatia kauli aliyoitoa Bungeni leo kuhusu Tanzania kupeleka jeshi lake DRC kukabiliana na waasi hao.

Ni hii ndio tweet yao
M23 Congo RDC ‏@m23congordc 16h
@ Bernard Membe tunasubiri majeshi yako Congo. Usidaganye bunge lako eti Tanzania inakuja zima moto,bali munakuja kuweka mafuta kwenye moto 

 MAJIBIZANO  YAO  NA  WAZIRI  MEMBE

Picture
Picture


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname