08 August 2012

Miss Kenya ang'ara shindano la Miss World

Miss Tanzania World 2012, Lisa Jensen (kushoto) akiwa na washiriki wenzake wakipita jukwaani wakati wa shindano la Mbunifu bora 'Designer Award'. 
 Miss Kenya 2012,Shamim Fauz ALI ameonekana kung’ara zaidi katika mashindano ya Miss World 2012 kwa ukanda wa Afrika Mashariki kwa kufanikiwa kuingia katika nusu fainali za mataji kadhaa yanayowaniwa katika shindano hilo kubwa la Urembo Duniani.
Miss Kenya akiwa katika kundi la tatu ametajwa kati ya warembo wanchi 40 watako wania taji la Miss Bikini ‘Beach fashion ‘ na pia yupo katika ya wasichana 47 watakao wania taji la Top Model 2012.
 Miss Tanzania akiwa katika picha hii ilipogwa katika moja ya matukio ya Miss World 2012.
 Miss Uganda 2012 Phiona Bizzu
Leo hii kunafanyika fainali ya Miss Talent World 2012. Via Father Kidevu Blog

Comments system

Disqus Shortname