HUU SASA WIVU...BAADA YA KUSHINDA TUZO 7...WATU WASEMA ETI DIAMOND ALITINGA NA SKETI UKUMBINI
Wajameni mimi sijui mshamba au ndo
kupitwa na mambo , hivi hii staili ya kuvaa sketi kwa wanaume ndio
fashion sasahivi ama? Jana Diamond aliingia na sketi hiyo hapo juu
....nikabaki midomo wazi......Je ni sawa? KUPATA HABARI ZAIDI Tuma neno TCT kwenda 15678
No comments:
Post a Comment