05 May 2014

Breaking Newsss: Ustadh Ilunga afariki dunia



Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.Ustadh Ilunga atazikwa Leo.

Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname