Taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba msanii Rehema Chalamila almaarufu kama Ray C ana hali mbaya na amelazwa hospitali ya Mwananyamala..
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari Ray C anasumbuliwa na ugonjwa hatari wa Dengue (DENGU) unaoenezwa na mbu wa mchana...
...GET WELL SOON RAY C.
No comments:
Post a Comment