02 February 2016

Kwa mara ya kwanza Vera Sidika aonyesha mjengo wake wa kifahari aliouita ‘Queendom’

Vera%2BSidika
Kwa mara ya kwanza video vixen Vera Sidika kutoka nchini Kenya ameamua kuonyesha mjengo wake wa kifahari. Walio bahatika kutembelea walishangaa kuwa ni yeye kweli anaishi katika jengo hilo la kifahari!
QUEENDOM
Kwenye mitandao ya kijamii, Vera haijawahi kuonekana kama ni moja ya watu ambao wametengeneza mkwanja mrefu mbali na kuonekana akitupia picha zake za mitego katika account yake ya Instagram. Amekuwa akitupia video kwenye snapchat jinsi akiwa ndani ya mjengo wake huo lakini hajawahi kuonyesha ukubwa wa jengo hilo kwa nje.
QUEENDOM1
Lakini hivi karibunu ametupia picha ya jengo lake hilo ambapo imefahamika lipo maeneo ya Kitusuru, Nakuipa caption 'Queendom' hiyo ilitosha kuthibitisha kuwa yupo nyumbani kwake.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname