31 January 2016

SUPERSTAA ALIKIBA AMUOMBA MSAMAHA RUBY KWA HIKII

Masaa machache yamepita tangu msanii wa Bongo fleva Ruby kuweka post yenye malalamiko kuhusu star wa Bongo Alikiba kutumia jina la Ruby kwa mbwa wake, hapa nakusogezea post yake nyingine akidai kupokea ujumbe wa msamaha.

Asante sana kaka@officialalikiba Msamaha wako nimeupokea na nimekubali japo umeondoa post yako. Utakuwa na sababu zako unazojua mwenyewe. Kama nilivyosema mwanzo issue sio jina la mbwa wako, issue ni huo ‘mfugo’ uliofanywa topic na watu wako wa karibu na kunifanya nianze kuhisi huenda ulikuwa na maana nyingine. Since umepiga simu kwa boss wangu kuomba radhi, mimi sina kinyongo, naomba Mungu huyo mbwa awe anabweka tu ha ha,tufanye tu kazi kaka

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname