14 January 2016

NAIBU WAZIRI WIZARA YA HABARI AKIWA KWENYE ZIARA RUFIJI.


 Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura akiongea na watumishi wa Wilaya ya Mkuranga wakati ya ziar ya kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Wilayani humo, wa pili kutoka kulia na Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh. Abdala Ulege na wa pili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh. Abdalla Kihato.

SOMA ZAIDI 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname