27 January 2016

Inchini Eritrea serikali imewambia wanaume wa inchi hiyo waoe wake zaidi ya mmoja,atakaekaidi atafungwa jela



Inchini Eritrea serikali imewambia wanaume wa inchi hiyo kwamba wajitahidi waoe wake zaidi ya mmoja,atakaekaidi atafungwa jela,vile Vile mwanamke atakaemkataza mmewe kuwa na mitala ni jela,eti hii imetokana na inchi hiyo kuwa na wanaume wwchache,wengi walipoteza maisha wakati wa vita dhidi ya Ethiopia, hii sasa ni hatari

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname