15 January 2016

BREAKING NEWS : MUME WA CELINE DION AFARIKI DUNIA

Celine Dion na mumewe Rene Angelil enzi za uhai wake.
Las Vegas, Marekani
Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mashuhuri duniani Celine Dion, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, nyumbani kwao Las Vegas nchini Marekani baada ya kuugua saratani ya koo iliyomsumbua tangu mwaka 2000. 


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname